Rais Jakaya Mrisho Kikwete katika shamrashamra za kulizindua rasmi jiji la Arusha Novemba 1, 2012 ambapo maelfu ya wakaazi wa jiji hilo walijitokeza kumlaki na kumshangilia katika hafla hiyo iliyoambatana pia na uzinduzi wa ujenzi wa barabara za jiji hilo. Sherehe hizo za kihistoria zilifanyika katika Uwanja wa Sheikh Amri Abeid
WAANDISHI WA HABARI GEITA WAPEWA MBINU ZA KUTHIBITISHA NA KUHAKIKI TAARIFA
-
Mkurugenzi wa Umoja wa Klabu za Waandishi wa Habari Tanzania (UTPC),
Kenneth Simbaya akizungumza wakati akifungua mafunzo maalum kuhusu
Uthibitishaji na U...
7 hours ago





No comments:
Post a Comment