Rais Jakaya Mrisho Kikwete katika shamrashamra za kulizindua rasmi jiji la Arusha Novemba 1, 2012 ambapo maelfu ya wakaazi wa jiji hilo walijitokeza kumlaki na kumshangilia katika hafla hiyo iliyoambatana pia na uzinduzi wa ujenzi wa barabara za jiji hilo. Sherehe hizo za kihistoria zilifanyika katika Uwanja wa Sheikh Amri Abeid
SERIKALI YAIMARISHA UHAKIKI WA VIPIMO NCHINI KUPITIA KITUO CHA KISASA
MISUGUSUGU
-
Na Janeth Raphael MichuziTv Bungeni Dodoma
Serikali kupitia Wakala wa Vipimo (WMA) imeendelea kuimarisha huduma za
uhakiki wa vipimo nchini kwa kukamili...
6 hours ago





No comments:
Post a Comment