Rais Jakaya Mrisho Kikwete katika shamrashamra za kulizindua rasmi jiji la Arusha Novemba 1, 2012 ambapo maelfu ya wakaazi wa jiji hilo walijitokeza kumlaki na kumshangilia katika hafla hiyo iliyoambatana pia na uzinduzi wa ujenzi wa barabara za jiji hilo. Sherehe hizo za kihistoria zilifanyika katika Uwanja wa Sheikh Amri Abeid
Airtel Tanzania Yawazawadia Washindi Saba Katika Siku ya Boxing kupitia
Kampeni ya ‘Sikukuu Imenyooka na Santa Mizawadi’
-
Dar es Salaam, Tanzania, 26 Desemba 2025.
KAMPUNI ya Airtel Tanzania imeadhimisha Siku ya Boxing kwa kuwazawadia
wateja saba wenye bahati kupitia kampeni ...
5 hours ago





No comments:
Post a Comment