Msimamizi wa uchaguzi jimbo la makete atangaza matokeo ya uchaguzi mdogo wa udiwani kata ya Luwumbu
wilayani Makete na kumtangaza mgombea
udiwani kata ya Luwumbu kwa tiketi ya CCM Mch. Enock Ngajilo (Pichani juu) kuwa
ameibuka kidedea kwa kupata kura 565 sawa na 93.4%
huku mgombea wa CHADEMA Raphael Kyando (pichani) akiambulia kura 40 sawa na 6.6%.
Katika uchaguzi huo vyama wiwili (CCM & CHADEMA) ndio vilishiriki uchaguzi huo
No comments:
Post a Comment